JINSI YA KUMSAIDIA MUME WAKO Mke aliumbwa kama msaidizi na mwenzi. wewe huwa Unamsaidiaje? 1. Tafuta malengo yake ili uwe tegemeo lake 2. Wasiliana na malengo yako binafsi ili kwa pamoja mtimize kusudio lenu 3. Mpe Changamoto akue kiakili. lakin Usifurahie hali hiyo, mjulishe mawazo mapya juu ya jinsi ya kufanya ndoa yenu iende vizuri, jinsi ya kushughulikia fedha, jinsi ya kufanya kazi kwa busara, jinsi ya kuwa bora zaidi kwenu nyinyi wawili. 4. Yapendezeshe mazingira yake na kuyafurahisha macho yake. Kuna kitu cha kusisimua kuhusu mwanamke kwa mwanaume 5. Fanya kazi na uchangie kwenye mahitaji ya familia. Kuwa Mwanamke…
Author: Rahaspecial
MWANAMKE MTHAMINI SANA MWANAUME WA AINA HII: 1. Mthamini mwanaume anayempenda mama yake mzazi hii inamaana. Amelelewa vizuri huko alikotoka 2. Mthamini mwanaume anayependa kusoma, maana atashinda kila aina ya mitihani. huyu ni mwenye hekima 3. Mthamini mwanaume mcheshi. Hutajuta kuishi nae maana hachoshi 4. Mthamini mtu anayewajari wageni na wasio wageni bila kujari huyu ni nani anacheo ganina huyu anaheshima. na moyo mwema 5. Mthamini mwanaume anayekupa muda wa kukusikiliza. utakuwa unaeleweka kila wakati kwake 6. Mthamini sana mwanamume ambaye wazo lake la kujifurahisha kwako linajenga. huyu anakuwa Amekomaa kiakili 7. Mthamini mwanamume anayewajibika kifamilia na yupo tayari juu…
SHERIA 12 ZITAKAZOONGOZA NDOA YAKO AWatu wawili wanawezaje kuongozana pamoja wasipopatana? Ukweli ni kwamba, ndoa nyingi huharibika kwa sababu ya kutoelewana pande zote mbili. Kutoelewana kunaletwa ukosefu wa maelewano ya kushughulikia masuala yanayoathiri kila ndoa. Kushindwa kukubaliana kutapelekea mume na mke kutafsiri mambo kwa njia tofauti na kusababisha kuumiza hisia Kubaliana na mwenzi wako kuhusu cha kufanya na usichofanya. Kuwa na sheria hizi. 1. SHERIA ZA TENDO LA NDOA Kubali kwamba unaweza kufanya tendo la ndoa kwa njia yenye msimamo, lakini pia ukubaliane juu ya kile ambacho hautajaribu kufanya. Kwa mfano; hakuna ngono ya kinume na maumbile, au kutopiga punyeto…
KINACHOMFANYA MWANAMKE KUNG’ARA 1. KUJIPENDA Mara tu mwanamke anapojipenda, mwanga wa ndani hutoka ndani na huonyeshwa kupitia kwenye tabasamu lake, macho, sura ya uso, tabia na sauti. 2. MSAMAHA Uchungu hutia giza rohoni lakini msamaha humfanya ang’ae. huonyesha kuwa Amekataa kuwapa mamlaka wale waliomdhuru siku za nyuma 3. KUFAHAMU KUSUDIO LAKE Mara tu anapojua sababu yake ya uwepo wake, yeye huangaza mwanga. na kufahamu Kuwa kuhusu kosa lake kuwa kutenda kosa sio kosa bali ni uumbaji wa mungu alimuumba binadamu kuna na madhaifu, na mazuri hali hiyo humfanya ang’ae kwa ujasiri 4. MAENDELEO Maendeleo katika maisha yake yanamfanya ang’ae. Ingawa…
(A) MBUSU MKEO NA KUMWAMBIA MANENO HAYA “Mke wangu, asante kwa kuvumilia udhaifu wangu. Asante kwa kuvumilia shida na matatizo yangu. Asante kwa kufufichaa aibu zangu kwa watu. Asante kwa kutokubaliana nami wakati mapendekezo yangu yapokuwa hayapo sahihi. Asante kwa kutazama mpira pamoja nami ingawa wewe si shabiki wa mpira. Asante kwa kushirikiana na mimi kwenye mambo ya kifedha tangu tulikipokuwa na hali ya chini. Asante kwa kujiweka katika hali ya kufanya tendo la ndoa hasa nikikuvutia kingono. huwa Hunikatai. Asante kwa kujaribu nafasi tofauti za mitindo tofauti ya kufanya mapenzi na zile ninazozipenda na japo kuna wakati huwa haupendi…
HIZI NDIYO ALAMA KUU ZA UAMINIFU NA MAANA ZAKE… 1. Kulala karibu na mwenzi wako bila uoga, na kuwa na uhakika kwamba hatokudhuru. 2. Kuzaa watoto mkiwa pamoja nyakati zote za malezi pasipo kumtelekezea mmoja majukumu ya ulezi 3. Kutambulishana kwa wazazi na familia zenu, ikiwa unauhakika kwamba utawaheshimu na kuwapenda wazazi wake kama wako. 4. Kula chakula ambacho amepika mwenzi wako bila uoga, ukijiamini kuwa hakiwezi kuwa na sumu. 5. Kukutazamana hasa mmoja wenu akipita mlango wa nyumba, ili kuhakikishiana kuwa hatafanya chochote cha kuhatarisha familia yenu isije kuingia kwenye maisha hatarishi. 6. Kuwekeza mapenzi thabiti pasipo kuingiza uwezo…
UKWELI LAZIMA USEMWE 1. Wanawake huwa hamjali mwanaume anayempenda na kumheshimu mama yake, mnachofanya ni kumuona kama akili ya kitoto au humuita mtoto wa mama fahamu kuwa kuwaheshimu wazazi wako hapa duniani ni daraja kubwa sana kuliko udhaniavyo wewe 2. Wanaume tumeshau uungwana na kuchukulia kawaida bila kujali kuwa mwanamke kuna muda anatakiwa anunuliwe make up na na avae vizuri, tunachofanya ni kumfanya mwanamke aonekane kama hana akili timamu na asiye na maana na kusahau kuwa anathaman kuliko mali tunazozikumbatia kikubwa unachotakiwa kufanya ni kumtunza na kuthamin umbile lake na mwili wake. 3. Kweli dunia imeisha kuna Wanawake siku hizi…
HATUA HIZI 10 ZITAKUFANYA UFURAHIE TENDO LA NDOA ZINGATIA USAFI 1. Wakati midomo yenu inabusiana hakikisha unatoa hewa safi 2. Wakati unavaa chupi na nguo za ndani hakikisha kuwa ni safi na zinazo vutia 3. Wakati mwanamke unavaa weave ama wigi hakikisha kuwa halinuki 4. Wakati mwingine weka nywele za usoni ziwe za kumvutia mwanaume 5. Hakikisha manukato unayotumia kujipulizia mwilii au kwenye mavazi sio makali sana yasimuumize mwenzio wakati wa tendo 6. unavyonyoa vuzi hakikisha unanyoa kiustad kwa kifaa na dawa maalumu kuepuka miwasho mara kamara 7. Hakikisha kwa bibi hakutoi harufu ya kuchukiza mpaka kumpelekea mwenzi wako ashindwe…
SANAA YA KUONGEA NA MPENZI WAKO 1. Epuka kuzungumza naye kwa ukali. Usimfanye ajisikie kama unashindana naye 2. Akikosea Usimseme kwa ukali kufanya hivyo ni kuhatarisha penzi lako 3. Mpe nafasi na muda wa kuzungumza. Usitawale mazungumzo, muda wote 4. Kuwa mkweli. Usiwe mwanamke wa kumsema maneno makubwa na kutukana. Matusi yako yataghairisha mahusiano 5. Angalia sauti yako. Unaweza kuwa unasema jambo sahihi lakini sauti yako ikawa haipo sahihi. Wakati mwingine ujumbe wako haupokelewi vyema kwa sababu ya uwasilishaji wako 6. Usitoe mahaba ya kimya, hii huwa inamsukumo wa mbali 7. Usiwe mtu wa kutoa amri na maelekezo kama bosi…
JINSI YA KUMFANYA MWANAUME AKUPENDE Je, umechoka kuchukizwa na wanaume? Wanakuchumbia tu halafu wanakuacha? Haya ni mambo unayoweza kuyafanya ili kumfanya mwanaume akupende na hata kukuchumbia, kukuoa na kushikamana nawe milele… 1. HESHIMA: Jifunze kuwaheshimu wanaume kutoka ndani ya moyo wako. Hakuna mwanaume anayeweza kumpinga mwanamke anayemuonyesha heshima na nidhamu kubwa. 2. SHUKRANI: jifunze kuthamini kila jambo jema ambalo wanaume wanakufanyia. Mwanamke anayejua jinsi ya kumthamini mwanamume 3. UPENDO WA DHATI: wanaume wanapenda kusifiwa. kuhusu Akili yake, mafanikio, sura nzuri na kazi ina maana kubwa kwake 4. SIFA: kila anapofanya jambo la kawaida, msifu sana. Usimbembeleze, wanaume wanachukia kubembelezwa kupitiliza,…