VUA CHUPI NIKUPE AJIRA
Episode 11 – 20
“Aaah………beeeeib…..y aah” Alitoa sauti za mahaba mtoto wa kike akazidi kumpagawisha.
Kadri ilivyokuwa ikiteleza ndo palizidi kulainika
“Baby mku** ni mtam”
“aaah….” alisema Erica na kumbinulia “Mb** yako ni taaam” alisema kinahaba akaendelea kuikatikia huku akimuacha Jonas anacheza na vishanga kiunoni taratiiibu
“Baby si utanipa kazi?” aliuliza mtoto wa kike
“Yes baby, lazima uajiriwe, siwezi kataa kuuona huu mk*** ukipita pale ofisini”
“Nashukuru baby” alisema Erica na kukatika haraka haraka. Jonas hakufika mbali alianza kupiga kelele
“Nakojoa nakojoooa, nichomoe?”
“Hapana mume wangu kojoa huko hukoooo aaaah” alisema huku akikatika ba kuibania kwa ndani Jonas akapagawa na kummwagia, kiukweli alitetemeka na mwili mzima ulimkakamaa.
Walipumzika.
Walikunywa kwanza bia zilizokuwa kwenye friji halafu wakaendelea,
Saa 5 usiku waliondoka wakaenda mpaka hotelini wakala kisha Jonas alimuendesha binti mpaka nyumbani kwao,
Jonas alishangaa nyumbani kwa kina binti ni kuzuri kuliko hata pale alipokuwa akiishi yeye
“Hapa ndo unaishi?” Jonas aliuliza
“Ndio…”
“Ni nyumba ya nani?” aliuliza
“Ya baba”
“Mh kumbe we mshua ee?” aliuliza
“Kidogo tu….”
“Mh sawa ila wewe! Sasa kwanini unatafuta kazi kwa fujo hivi?” aliuliza “Wakati kwenu mna maisha
Erica alitabasamu na kumbusu shavuni “usijali nitakuja siku nyingine ntakueleza kila kitu…..halaf baby si utanif*** tena?” aliuliza
“Usijali”
Erica na Jonas waliagana na alishuka akaingia kwao.
Jonas aligeuka na kurudi nyumbani amechoka kinoma, alipofika alilala fofofo mpaka asubuhi saa 12.
Alipoamka alicheki ile karatasi yenye majina ya waliofanyiwa interview
“BOSS KANIPA WIKI MOJA, SASA NTAWAMALIZIA VIPI HAWA 34? MH NGOJA NIANZE NA HAWA WAWILI HALIMA NA SADA” alisema kwa sauti ndogo na kukopi namba za wasichana wawili akazisevu kwenye simu kisha akatoka na kuelekea ofisini.
Kila alipojaribu kumpigia Erica, alikuwa amem-block hawezi kumfikia kabisa
“Huyu vipi?” alimtafuta namba nyingine Erica akapokea, aliposikia sauti ya Jonas alikata simu na kuiblock pia
JE NI KWANINI
ENDELEA NA SEHEMU YA 12
THE INTERVIEWER 12 🔞
Ile hali ilimpa mawazo sana Jonas, alijikuta anapata stress kwani alikuwa amelala mara moja tu na Erica halafu alikuwa hamtafuti
“Huyu demu ana ngoma au?” alijiuliza mwenyewe ila kabla hajanipa majibu aliingia secretary wa ile kampuni akiwa na matunda
“Jonas” alimuita kitendo kilichofanya Jonas ashtuke maana alikuwa katika mawazo makali
“Aah umenishtua sana Jessica, vipi?” aliuliza
“Nimekuletea matunda, karibu ule” alisema Jessica kwa tabasam zito kinywani mwake
“Asante” alisema Jonas “Niwekee mezani”
“Hayaa” Binti aliweka na kugeuka ili aondoke “Ukimaliza nishtue nije kuchukua chombo” alisema
“Sawa usijali”
Jessica alionda huku akijiuliza “Mbona kama vile ana mawazo kapatwa na nini huyu mwanaume?” halafu akageuka na kuchungulia ofisini akamuona Jonas akiwa ameshika tama. Ila ghafla Jonas aliichukua simu yake na kuweza kumtext Halima na Rafiki yake Sada
Ujumbe ulifanana
“HABARI YAKO, MIMI DKT JONAS KUTOKA TEREJO COMPANY LTD NIJIBU NIKUPE HABARI NJEMA” alituma bado alikuwa hajakoma
Haikupita Dakika mbili Sada alijibu “SALAMA HABARI YAKO”
Jonas akajibu “SALAMA KABISA, SAMAHANI MIMI NILIKUFANYIA INTERVIEW HAPA KWENYE KAMPUNI LAKINI INAONEKANA HAUJAFANYA VYEMA”
Alituma bila kuogopa,
“JAMAANI” Sada alijaribu kujibu
“UKO WAPI SADA RASHIDI?”
“NIKO MATEJOO”
“BASI KAMA UNAHITAJI KAZI NAKUOMBA TUONANE KUNA NAMNA NATAKA NIKUSAIDIE” alituma kwa kujiamini
Sada aliusoma ule ujumbe mara mbilimbili akapata hofu maana alikuwa akisikia habari makazini kuna rushwa ya ngono, hakuthubutu kujibu
*
Jonas naye kwa kuwa hakuwa sawa, hakumjibu alibaki anawaza mambo mengi huku matunda mezani yakizidi kumsubiri ayale.
**
Jioni mida ya saa 11, Sada alifunga safari akaenda kumtembelea rafiki yake, Halima maana walikuwa wanapendana sana,
“Vipi hujaona message kutoka kule Terejo?”
“Hapana, Si unajua simu yangu imeharibika shost? Sipo hewani” alijibu HALIMA “Vipi umeshapata kazi nini mwenzangu?”
“Hapana, wameniambia sijafanya vizuri ila kama nataka kupata kazi nimtafute tuonane kuna namna anataka kunisaidia” alisema Sada
“Nini? Unazingua mamiii, utaliwa” alisema Halima
JE HAPA JONAS ATAFANIKIWA?
THE INTERVIEWER 13🔞
“Etieeh” Alisema Sada
“Ndio, hawa wanaume hapana” Halima alizidi kuchochea
“Haha, anafikiri mimi atanipata kirahisi hivyo? Mjinga yule kweli kweli. Tena ni kweli shoga maana ingekuwa amenitafuta kwamba nimefaulu interview hapo ingekuwa sawa….ila eti anasema sijapita mh halafu anataka tuonane. Ili iweje?” Sada alisema kwa jazba
“Ndo shida yao hawa wana hamu za haraka kama nini! Anhaa mi bora amekuta sipatikani, angekuta napatikana ningemtukana shenzi huyo” Halima alisema
**
Baada ya dakika kadhaa Sada aliaga na kwenda nyumbani kwao, ila Halima alikuwa na lake jambo, alimfuata mama yake
“Mama” alimuita
“Nini tena?”
“Naomba niazimishe simu yako dakika mbili niangalie kama majibu ya interview yametoka” alisema
“Chukua ipo kwenye chaji pale sebuleni”
“Asante mama”
Halima alienda sebleni na kuchukua simu ya mama yake alibadili laini akaweka ya kwake na kuwasha. Ilipowaka tu hivi, akakuta message ya za watu tofauti tofauti, mojawapo ikiwa ni ya Jonas
Kwa kuwa nia yake ni kuwasiliana na Jonas aliamua kumpigia maana bado kulikuwa na kifurushi kwenye simu yake
“Hallo Halima” alisema Jonas mara baada ya kupokea simu
“Hallo. Sir, nimekuta ujumbe wako kwamba nimeshindwa interview, sijaelewa kwanini mmenitumia huu ujumbe”
“Nimekutumia kwa sababu nataka nikusaidie…..je uko tayari?” aliuliza Jonas
“Ndio niko tayari unisaidie…..ila sijui nifanyeje ili unisaidie”
“Nataka nionane na wewe maana natakiwa nifanye mazingira wiki hii nitangaze waliopata kazi hapa, nimeona wewe ni mzuri una uwezo mkubwa wa kuvutia wateja”
“Mh, tuonane wapi? Halafu mimi hata simu ya kuwasiliana na wewe sina hii nimeazima” Halima alisema
“Come oooon! Sasa si bora ungekuja hata leo ili nikununulie na simu kabisa?” alisema Jonas
“Mmmmmmh!” Halima aliguna kimahaba huku akianza kukolea taratiibu
“Sure, njoo ujipatie furaha yako” alisema lakini kiukweli yale maneno yalikuwa yameshamlegeza Halima moja kwa moja, alijikuta anawashwa ghafla ndo tatizo ka kutongozwa ukiwa na shida
“Kweli utanipa simu nikija?” aliuliza
“Ndio, hata sasa hivi kama waweza kuja, njoo nikupatie simu” alisema Jonas
“Mh, usiku hivi? Ntaagaje nyumbani?”
THE INTERVIEWER 14 🔞
“Sijui sasa ila angalia mwenyewe maana nimeambiwa na wamiliki wenzangu kwamba mapema wiki hii nitangaze majina maana biashara imelemaa sana”
“Mh embu ngoja ntakuambia” Halima aliongea
“Sawa”
*
Halima alikaa akatafakari kwa muda afanyeje maana aliishi kwao, lakini uzuri ni kwamba pale nyumbani kwao kulikuwa hamna geti hivyo kutoroka ni rahisi.
Alituma SMS “Kwani wewe unaishi wapi Dokta?”
“Naishi USA RIVER”
“Okay wakishalala nitatoroka nije” alisema Halima
“Hapo sawa, utanicheki basi”
“Sina hata nauli naomba uje unichukue” alisema binti
“Wapi?”
“Mianzini”
“Okay utaniambia”
“Haya”
*
Siku ile ilikuwa mbaya kwenye akili ya Jonas, muda wote alikuwa akiwaza sana kwamba kwanini Erica baada ya kuliwa tu alimblock? Alijaribu kumtumia ujumbe whatsapp ukaenda
“MBONA UNANIFANYIA HIVYO ERICA, INA MAANA HUKUINJOY PENZI LANGU?” Alijiuliza
“NILIINJOY ILA I’M SORRY MIMI NI MUATHIRIKA” alisema binti
“MUATHIRIKA????” Jonas alichanganyikiwa, alitetemeka mwili mzima hakutarajia.
Akiwa katika stress kama zile ndipo ujumbe kutoka kwa HALIMA ulimjia
“Wameshalala, njoo unichukue”
Jonas aliujibu “OKAY NIKIFIKA NTAKUPA TAARIFA”
“SAWA DEAR” alisema Halima
**
Jonas kutokana na stress zake alijikuta anazidi kupata mawazo mara dufu, Hamu na mwanamke ziliisha kabisa, alijuta.
Shetani naye hakuwa mbali, alipenya pale pale kwenye yale mawazo na kumshawishi ndipo akapata wazo jipya
“KAMA AMENIAMBUKIZA, NAMI ACHA NIUSAMBAZE SHENZI HAWA” alisema kwa sauti ndogo kisha akainuka sofani na kuchukua ufunguo wa gari akatoka na kufunga mlango kisha akafungua geti na kutoa gari.
Alipofunga gari alitoka speed kuelekea Arusha mjini, alipofika mianzini alituma ujumbe kwa Halima
“Niko hapa sokoni, njoo”
Ilichukua sekunde chache sana Halima akajibu
“NISUBIRI DAKIKA MBILI”
“OKAY”
Jonas alibaki akiwaza kwenye gari, ndipo akamuona halima kwa mbalii akimulikwa na taa zilizokuwa pale mjini. Alimuwashia taa.
Halima alipanda gari kisha wakaondoka mdogo mdogo huku wakipiga story.
THE INTERVIEWER 15 🔞
“Nimechokaa….” Alisema Halima
“Umechoshwa na nini?” aliuliza Jonas
“Maisha ni magumu sana Jonas, hamna kazi, nimesoma ila ndo hivyo hamna chochote, hata kiswaswadu nashindwa kununua, Imagine” alisema binti
“Pole sana ndio nchi yetu!…..ulivyo mzuri hivi unakosaje kazi?” Jonas alimsifia
“Hahaha, eti mzuri” alisema binti kwa furaha huku akichekesha meno yake ambayo kidogo yaliathiriwa na maji ya chumvi
“Mzuri sana, ndo maana nimeona nikuchague uwe mmoja wa wafanyakazi wangu, ili mara kwa mara nione tako likikatiza ofisini kwangu” alisema Jonas
“hahaja mbona hata tako sina jamani” alisema binti
“Sijala, tafadhali tuingie kwanza hotelini” alisema Jonas
“Mi nishakula, labda wewe ukale”
“Mh haya”
Jonas aliingiza gari katika hoteli moja hivi akaipaki na kushuka wote wawili.
Waliingia ndani halafu waliketi akaagiza kinywaji na nyama.
Wakati wanapata vinywaji, Halima alianza kulalamika
“Sasa si ntachelewa kurudi nyumbani jamani?” aliuliza Halima
“Ooh, basi sawa” alisema Jonas na kuita “Mhudumu?” alisema
Muhudumu akafika “Nakusikiliza boss”
“Nifungie hiyo nyama nikalie nyumbani” alisema
“Sawa boss hamna tatizo”
Waliendelea kunywa taratiibu, siku hiyo Halima hakunywa pombe, alikuwa anatumia tu soda ila Jonas alijidunga bia mbili.
Baada ya dakika 10 walifungashiwa nyama kisha akalipa na kuondoka mpaka nyumbani.
Walipofika, Halima alishangaa ni bonge la mjengo, alijikuta anadata hata hajatongozwa
“Hii ni nyumba ya nani?” aliuliza
“Ya kwangu” alisema
“Sasa si uoe?” aliuliza
“Utakuwa tayari nikuoe?” aliuliza
Halima alicheka kwa aibu bila kumjibu
Nyama ziliwekwa mezani huku Wine aina ya Imagi ikimiminwa ndani ya glass, Halima ni mtoto wa mjini akaanza kujiloga kuitumia.
Walilishana nyama taratiiibu bila kutongoza binti alijikuta anashikwa shikwa kila mahali mwili.
Bila hiyana Jonas alimbeba kama mtoto, akampeleka hadi chumbani na kumlaza kitandani. Alipiga magoti chini, akanyanyua gauni la binti na kuishusha kufuli ya binti
Halima alipanua mapaja na kufumba macho kwa aibu huku akimsaidia kupandisha gauni vizuri.
Jonas alitazama kitumbua kisafi kimenyolewa muda mfupi uliopita
THE INTERVIEWER 16 🔞
“Woooow” Alisema Jonas na kukipapasa na kiganja, vinyoleo vikamchoma choma akasikia raha sana.
Kichwani aliwaza kwamba yule binti alijua kinachofuata ndo maana akanyoa kabisa mapema kabla hajaja mtegoni.
Alimvuta vizuri karibu yake halafu akasogezea ulimi na kukilamba kitumbua kwa ulimi wake
“Haaaaaash” Halima alianza kuhangaika na kubana mapaja.
Jonas aliendelea kunyonya taratiiibu kitumbua cha binti
Binti alihangaika na kupiga makelele “Aaah, aaaash baby baby huuuu” alisema huku akisokotoka kiuno chake.
Aliona nguo hazina kazi yoyote mwilini, akainuka na kuvua gauni lake akalitupa kule.
Alijilaza tena na kupanu halafu akamtazama Jonas anavua suruali yake na dudu limening’inia linataka kitumbua.
Halima aliendelea kujipapasa mwenyewe, na pale Jonas alipomaliza aliruka kitandani wote wakiwa uchi wanapapasana na kunyonyana mate.
Walipogewa, Halima mwenyewe aliishika na kuilengesha kunako ikaingia nusu “Haaaaaaaah” alipiga kelele za mahaba na kumkumbatia mtoto wa kiume halafu akamnasa shingoni na kupanyonya
“Baby……..” Jonas aliita na kuichomoa halafu akairudisha tena ndani yote “Aaaaaaaah beiiiby” Halima alipiga kelele hadi akamuuma love bite shingoni
“Love you” alisema Jonas
“Nakupend…….piaaa” alisema Halima na kunyanyua kiuno ila ikachomolewa na kuingizwa tena
“Aaauwiiii Jona…..mume wangu ninaifurahia mb*** yakooo aaaah fuck meee aaash” alizidi kupiga kelele sana. Ilikuwa uhuru maana kule ndani walikuwa peke yao.
“Wooow, inabana” alisema Jonas
“Asante my…..please unikojoleee” alisema mtoto wa kike huku akimkumbatia na kujaribu kuifinyia kwa ndani
“Utaniua mke wangu”
“Hautakufa mume wangu, wewe nitom*** hii ku** mali yako…alisema mtoto wa kike, alikuwa anainjoy furaha za mwamba.
Stress zilianza kumuandama Jonas pale pale akipokumbuka maswahibu ya Erica
Aliamua kuanza kuchochea kwa speed nia yake ni kuhakikisha anamchubua Halima wa watu.
Yote haya ni kwa sababu alikuwa anawaza kama naye amepata ukimwi basi bora wafe wote
“Aaah aha aaah aaah baby…..baby….” Halima alipiga kelele akijua anapewa raha kumbe anauawa.
Mwisho alikojoa mtoto wa kike lakini Jonas bado maana alikuwa ana stress
THE INTERVIEWER 17 🔞
Halima alipofika kileleni basi sehemu zake ziliacha kuendelea kutengeneza ute, hivyo kadri Jonas alivyochochea ndivyo palipozidi kuwa pakavu. Alijikuta anamfanya binti aanze kulalamika
“Kojoa my….kojoa basi?” alisema Halima
Ndani ya dakika kumi nzima Jonas alikuwa hajafika, ikabidi sasa Halima atumie nguvu ya Ziada kumshawishi, hadi Jonas akafika.
“Pole mume wangu” alisema binti na kumfuta Jasho mwamba
“Asante, nimeinjoy sana”
***
Baadaye mida ya saa 7 usiku binti alilalamika anataka kurudi kwao,
“Kaoge basi nikupeleke” alisema Jonas
“Sawa bafuni wapi?”
Ilibidi Jonas amchukue binti akampeleka hadi bafuni akaoga na kurudi akavaa.
Wanataka kutoka akamkumbushac “Vipi ile simu sasa?” aliuliza Halima
“Oooh shit….nilikuwa nishasahau” alisema Jonas na kurudi sebuleni kuna kabati
Alifungua droo za kabati kweli kulikuwa na simu aina ya Oppo, akaichukua na kujaribu kuiwasha ikawaka fresh, akampatia
Halima hakuamini “Baby” alimuita kimahaba “Asante” alisema Halima huku akimkumbatia na kumbusu
“Usijali, nakupenda sana”
“Nakupenda pia….”
Walitoka nje wakapanda gari na kuondoka mpaka mianzini.
“Password ni jehova ya herufi ndogo”
“Jehova?”
“Yes” alisema Jonas
“Mmmmh umeokoka ee?”
“Hahahaaa.. Yes na huwa sitendi dhambi” alisema kijana huyo
“Hahaha nyoo eti utendi dhambi, akati hapa nasikia ikiwaka moto kwa ulichonitendea”
“Hahaha”
“Haya bana asante tutachat”
“Sawa”
Halima alishuka kwenye gari akiwa na furaha sana. Alitembea kwa mwendo wa haraka haraka kueleka nyumbani.
Jonas alimtazama sana Halima, alitumia muda mrefu kumuangalia halafu akajiuliza
“Kwanini nimefanya hivi? Huyu binti anaonekana ana malengo yake mazuri, sasa kama nina ugonjwa si nimempa jamani?” alijuta kwa alichokifanya lakini hakuwa na chaguo tena.
Aligeuza gari kisha akarudi nyumbani kwao.
Usiku ule Halima hakulala, alikuwa amepewa simu nzuri, hakuwahi miliki simu nzuri kama ile kabla, aliwaza mengi
“Yaani yule nataka nimfanye wa kwangu kabisa ndo atanitoa kimaisha kabisa” alijisemea kwa furaha halafu akarudi online tena
Akamtumia ujumbe wa shukurani Jonas
JE YEYE NA JONAS WATAFIKA WAPI?
THE INTERVIEWER 18 🔞
Asubuhi ilipofika Jonas alikuwa amechoka sana, ni siku tatu mfululizo alikuwa akilala na wanawake, alikuwa amechoka sana siku ile. Hakuwa na namna ilibidi aende kazini
*
Upande mwingine, Sada alikuwa amelala anawaza ule ushauri wa Halima, hakujua kabisa kauli kwamba alishaliwa mwenzake na simu amehongwa
Alimpigia simu msichana mwingine ambaye walikuwa wamebadilishana namba siku ile ya interview ya kwanza
“Hallow Esta” alisema
“Nambie dear” alisema Esta
“Hivi wamekutafuta kule kwenye kampuni tuliofanya interview?” aliuliza Sada
“Hapana…..hawajanitafuta vipi wewe umetafutwa?”
“nimetafutwa ila yule alitetufanyia interview ni muhuni eti anasema tukutane”
“Haaah! ili nini?”
“Eti sijafaulu interview ili anisaidie nipate kazi pale”
“Mh huyo anakutaka shogaa”
“Mh mi mwenyewe nimehisi hivyo hivyo….ila hawezi kunipata” alisema binti
“Kwani kama anakutaka si umpe tu upate kazi maana itakuwa amekupenda”
“Hahaa hapana mi bora tu nikose kazi ila hivyo mimi siwezi mpa….mbaya zaidi alimtafuta na rafiki yangu anataka waonane, ina maana huyo ni tamaa tu” alisema Sada”
“Mh basi ni malaya…..embu ntumie no yake” alisema Esta, yeye alionekana ana usongo
“Mh namba? Nshafutilia mbali” alisema Sada
“Mh haya bana”
Waliagana na kila mmoja aliendelea na mishe zake.
Baadaye Sada alijiunga akaingia Whatsapp alichoshangaa ni kumuona Halima akiwa amepost hadhi yake (Status).
“Mh shoga angu umeshanunua simu” aliuliza Sada kwa wivu
“Hahaah acha tu shoga, nakuja kukutembelea” alisema Halima kwa sifa, aliamini ni muda wa kula maisha, alikuwa ameshampata mmiliki wa kampuni. Alijiachia sana
Baadaye alimtembelea
Sada alipoona ile simu alishangaa
“Umeipata wapi shoga?” aliuliza Sada, Halima alitabasamu kwa sifa bila kujibu
Sada alipoitoa password akasoma ndani alikutana ujumbe uliomshtu sana
Ulikuwa hivi “JONAS NIMEINJOY SANA PENZI LAKO, NASHUKURU KWA KUNIPA SIMU, NAKUAHIDI NTALITUNZA PENZI LAKO MUME WANGU”
Sada alishangaa baada ya kuona ule ujumbe akajua mwenzake ashaliwa.
“HALIMA!!!!!” aliita Sada kwa mshangao
THE INTERVIEWER 19 🔞
“HALIMA!!!” Sada aliita kwa mshangao
“NINI TENA?” aliuliza Halima
Sada alimtazama mwenzake kwa kitambo kirefu halafu akapata jibu kwamba asifanye chochote kwanza, ndipo akakata ile message na kumpatia simu yake
“Umeipata wapi simu shoga angu?”
“Nimenunuliwa na shemeji yako” Alijibu kwa furaha
“Shemeji yupi? Dullah au?” alimtajia mtu ambaye alikuwa akideti naye
“Ndio, nimefurahi sana” Halima alijaribu kuuficha ukweli, lakini kiukweli binti alikuwa ameshapata majibu kwamba mtoto yule amepewa simu na mwamba wa TEREJO CO LTD
“Hongereni” Sada alisema kinafiki
*
Alipoondoka tu pale kwa Halima, Sada alimpigia simu shoga ake mwingine ambaye ni Esta na kumueleza
“Mwenzangu kumbe Halima mnafiki sana” alisema Sada
“Halima yupi?” Aliuliza Esta
“Yule rafiki yangu nilikuwa naye siku ile”
“Anhaaa yule!…..kafanyaje tena?” aliuliza Esta
“Eti baada ya yule mwenye kampuni kututafuta alinishauri vizuri nisiende kuonana naye, halafu yeye kaenda kwake kimya kimya wamefanya yao, kahongwa simu ya malakii nakuambia”
“Eeeh? Kweli? Na yule boss au?”
“Ndio, nimekuta message zao live akimshukuru kwamba ameinjoy penzi lake, na pia amempa simu mpya kabisa kama sio ya laki 5 ni bahati”
“Mh, kumbe yuko vizuri ee” alisema Esta
“Acha tu … Na inaonekana alikuwa na shida na mwanamke sana”
“Mh haya, tutaona kama watafika popote”
“Sawa”
***
Saa 11 jioni ndipo Jonas alikuwa akitoka ofisini, ile amefika getini kutoka hivi akamkuta Esta kasimama pale pale getini, urasta ameushusha pembeni usoni na kufunika jicho moja,
Kavaa gauni la kijani lililoushika mwili wake na kuonyesha maungo halafu likaishia katikati ya mapaja kitendo kilichofanya mapaja yake meupe yaliyokuwa nyororo kuonekana.
Kwa mapozi akaurusha unywele nyumba na kutabasamu huku akiliangalia gari lile
Kutokana na Jonas kuwa na tamaa alishusha kioo na kumtazama mtoto ni mkali, halafu anatabasamu na usoni kaitandika make up ya kutosha.
“Hi, Sir” alisema binti
“Hi, how are you”
“I am fine sir, vipi ndo unatoka?” aliuliza Binti
“Yes, vipi ulikuwa unahitaji huduma ofisini kwetu”
“Actually not…ila nilihitaji kuuliza tu swali kwako”
“Ndio” alisema Jonas
THE INTERVIEWER 20 🔞
“Actually not…ila nilihitaji kuuliza tu swali kwako”
“Ndio” alisema Jonas
“Mimi nilifanya interview hapa wiki mbili zimepita sijapata majibu yoyote ndo nilikuwa nataka kujua” alisema
“Oh, hivi hujatafutwa?” aliuliza
“Yes sijatafutwa”
“Oh, unaitwa nani?” aliuliza Jonas
“Esta”
“Esta nani?”
“Esta Laizer”
“Ooh Laizer basi sawa nitakuchekia halafu nitakupa feedback si uliweka namba yako?”
“Ndio niliweka namba yangu. Ila unajua nini sir?” alisema Esta
“Nambie”
“Niachie namba yako halafu nitakutafuta mimi maana wewe unaweza ukasahau”
Jonas hakujali hilo alifurahi maana alijua kama vile ni fursa kabisa “Oooh andika”
Esta alitoa simu yake na kuandika namba ya kiongozi huyo wa Terejo. Halafu waliagana.
Ilipofika saa 1 jioni alimuandika ujumbe
“Sir please naomba usisahau kunitafutia ile ishu mi Esta Laizer” alituma Esta
Kweli Jonas alikuwa hakumbuki, aliapokumbushwa ndio alikumbuka akatatufa kwenye laptop yake
Alipoangalia, katika list ya watu waliofanya vizuri Esta naye yupo, alitarajia kumuita
Lakini tamaa hazikumuacha akamtumia ujumbe
“Esta….naona hukufanya vizuri, pole ndo maana sikukutafuta, ila angalia namba ambayo unaweza kufanya ili niangalie namna ya kukusaidia wiki ijayo uanze kazi”
Kwa kuwa Esta alikuwa na lengo hilo na alikuwa amemtafuta baada tu ya Sada kumueleza ile ishu ya simu aliyohongwa Halima, Esta alijibu vizuri
“SIR KWA KUWA NAHITAJI KAZI NIKO TAYARI KWA KITU CHOCHOTE AMBACHO WEWE UTANIELEKEZA BOSS WANGU” alisema mtoto wa kike
Jonas alitabasamu “Mwaka huu lazima nife” alisema kwa furaha
Ghafla jumbe tatu mfululizo zikaingia, Zikiwa ni moja ya Halima, nyingine Sada na nyingine Jessica yule secretary wa kampuni
HALIMA: Honey usharudi home
SADA: Sir, mambo? Ulisema tuonane lini ili unisaidie nipate kazi
JESSICA: Jonas kwanini unanifanyia hivi nakupenda ila hunielewi, Why?
Jonas alishangaa wametumwa nini, alijiuliza mengi lakini upande mwingine alifurahia kwa kifupi wanaume wanapenda sana kushobokewa.
Alimjibu Esta
“OK ANGALIA MUDA WAKO TUONANE SEHEMU ILIYOTULIA TUONGEE”
Akamjibu pia Sada maana hao ndio alikuwa hajawapitia bado
TUKUTANE WIKIENDI, MAANA WIKI HII NIKO BIZE
INAENDELEAA