Clickable WP Image

DOCTA SIUMWI HUKOO

JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

Sehemu Ya 16

TULIPOISHIA

“Sawa Sulee mimi narudia

kijijini nikaanze maisha mapya”

alisema Monica huku

akitokwa na Machozi sana”

“sikiliza Monica baki nasi hapa hapa mjini sawa utakaa na sisi”

“kweli shangazi oooh Asante Mungu wangu”

ENDELEA

BAADA YA MIEZI MIWILI

Dokta kisarawe

alihama Dar na kuamia Morogoro

huko alikutana na kijana mmoja

aliye itwa Adams j maryo jr.

Aliye kuwa mfanya biashara

hapo Morogoro Dokta kisarawe

aliacha kazi ya udokta na kuanza kufanya biashara anazo fanya

Adams za Magari kutoka

japani Maisha yalisonga sana

kisarawe alikuwa mwembamba sana lakini alikuwa kanenepa vibaya ndani ya miezi mi3 tu

mambo yake yalikuwa safi

kutokana na Elimu yake kuwa kubwa sana alikuwa msaidizi

katika kampuni ya Adams Maryo.

Adams alikuwa akimtumia kisarawe katika mahesabu na hata akwenda nae japan,.

***

“Unajuwa safari moja tu nimeona

mabadiliko katika biashara yangu

kaka kisarawe”

“unajuwa kwa nini”

“hapana sijajuwa”

“tatizo lugha ulikuwa huiwezi

walikuwa wakikuibia sana bei ya gari moja walikuwa wakikuibia zaidi ya laki7 ya tz”

“sasa umenifungua akili,.

kaka sasa kivipi”

“kulikuwa kuna pesa inayo tolewa

katika jumla ya manunuzi

wewe ulikuwa hujuwi”

“ok asante nakutegemea

kaka”

“tupo pamoja”

****

Sulee alikuwa mtu waku lia kila

Mara Monica alikuwa ndiye Mtu wa kumliwaza Muda wote

Mimba zao zote zilikuwa za miezi 7 kila Mtu Sulee alikonda sana

alishindwa kula Hakuwa na Furaha kabisa Moyoni mwake

alimchukia kabisa dk kisarawe

kwaku sababisha Ndoa yake

kuvunjika :

“Monica nina siri kubwa sana

kuhusu Sulee”

“siri gani hiyo Shangazi…

Ila wewe inaonekana haujatulia

kabisa unaweza ukamwambia”

“Shangazi wewe ndiyo nguzo

yangu katika maisha yangu yote kwa sasa siwezi kumwambia kabisa shangazi naumia

sana kumwona sulee akiwa katika

hali ile”

“Hata mimi najuwa

sana kutoa mimba nikosa sana

lakini je ukimsababishia

nidhambi pia?”

“shangazi mh hapo sijuwi

ila ni dhambi siyo kubwa”

“huna uwakika Monica”

“ndiyo”

“basi kuna jambo ambalo

nataka itoke ikitoka

Nahuakika sulee mwanangu atakuwa na Afya njema”

“sasa shangazi ni jambo gani hilo

nijuwe maana mimi na wewe ni walezi wake sasa kila siku

hali yake ina zidi kuyumba

ona anavyo pungua hata kama ana  H I V.

Ni miezi michache sana

hawezi kuwa ana dhohofika

kiasi hiki huyu hata mawazo

yana changia”

“ngoja kesho takwambia”

“shangazi sawa”

“acha niende kazini

badae”

“kazi njema Mama”

“leo unaniita mama”

“yah kuanzia leo

takuita mama nasiyo shangazi

naomba ukubali”

“sawa maana wanangu wote

wapo makwao hapa sina

mtu wakunipa mahaba ya kuniita mama nita furahi sana”

****

Baada ya siku moja:,.

“Monica”

“Naam sulee”

“hivi imekuwaje wewe huna ukimwi na mimi ninao”

“kwa nini wauliza hivyo”

“nawaza sana sijuwi

kwa nini maana wote tumetembea na mtu mmoja

Dokta kisarawe mwenye

ukimwi”

“hata mimi sijuwi

ila punguza mawazo mpezi wangu

una niliza sana napo kuona”

“hapana Monica najuta sana

Mume wangu tulikuwa tukipendana sana sana ujinga wangu umeniponza nilifanya vile

kuokoa ndoa yangu kumbe ndiyo

nilikuwa naipoteza jamani

hiii hiii mmh”

“nyamaza wangu

usilie Sulee”

“ina uma sana”

“jikaze sulee angalia upo katika

hali mbaya siyo vizuri kulia lia

kila mara”

Hali ya Sulee ilikuwa mbaya sana

Monica alitoka nje nakumwita dereva ili wampe msaada :

“dereva sulee kadondoka

hali yake mbaya sana twende tukampe msaada”

Monica dereva pamoja na mlinzi

waliingia ndani nakumkuta,.

Je nini kimetokea endelea Kufuatilia

DOCTA SIUMWI HUKOO

Sehemu Ya 16

TULIPOISHIA

“Sawa Sulee mimi narudi

kijijini nikaanze maisha mapya”

alisema Monica huku

akitokwa na Machozi sana”

“sikiliza Monica baki nasi hapa hapa mjini sawa utakaa na sisi”

“kweli shangazi oooh Asante Mungu wangu”

ENDELEA

BAADA YA MIEZI MIWILI

Dokta kisarawe

alihama Dar na kuamia Morogoro

huko alikutana na kijana mmoja

aliye itwa Adams j maryo jr.

Aliye kuwa mfanya biashara

hapo Morogoro Dokta kisarawe

aliacha kazi ya udokta na kuanza kufanya biashara anazo fanya

Adams za Magari kutoka

japani Maisha yalisonga sana

kisarawe alikuwa mwembamba sana lakini alikuwa kanenepa vibaya ndani ya miezi mi3 tu

mambo yake yalikuwa safi

kutokana na Elimu yake kuwa kubwa sana alikuwa msaidizi

katika kampuni ya Adams Maryo.

Adams alikuwa akimtumia kisarawe katika mahesabu na hata akwenda nae japan,.

***

“Unajuwa safari moja tu nimeona

mabadiliko katika biashara yangu

kaka kisarawe”

“unajuwa kwa nini”

“hapana sijajuwa”

“tatizo lugha ulikuwa huiwezi

walikuwa wakikuibia sana bei ya gari moja walikuwa wakikuibia zaidi ya laki7 ya tz”

“sasa umenifungua akili,.

kaka sasa kivipi”

“kulikuwa kuna pesa inayo tolewa

katika jumla ya manunuzi

wewe ulikuwa hujuwi”

“ok asante nakutegemea

kaka”

“tupo pamoja”

****

Sulee alikuwa mtu waku lia kila

Mara Monica alikuwa ndiye Mtu wa kumliwaza Muda wote

Mimba zao zote zilikuwa za miezi 7 kila Mtu Sulee alikonda sana

alishindwa kula Hakuwa na Furaha kabisa Moyoni mwake

alimchukia kabisa dk kisarawe

kwaku sababisha Ndoa yake

kuvunjika :

“Monica nina siri kubwa sana

kuhusu Sulee”

“siri gani hiyo Shangazi…

Ila wewe inaonekana haujatulia

kabisa unaweza ukamwambia”

“Shangazi wewe ndiyo nguzo

yangu katika maisha yangu yote kwa sasa siwezi kumwambia kabisa shangazi naumia

sana kumwona sulee akiwa katika

hali ile”

“Hata mimi najuwa

sana kutoa mimba nikosa sana

lakini je ukimsababishia

nidhambi pia?”

“shangazi mh hapo sijuwi

ila ni dhambi siyo kubwa”

“huna uwakika Monica”

“ndiyo”

“basi kuna jambo ambalo

nataka itoke ikitoka

Nahuakika sulee mwanangu atakuwa na Afya njema”

“sasa shangazi ni jambo gani hilo

nijuwe maana mimi na wewe ni walezi wake sasa kila siku

hali yake ina zidi kuyumba

ona anavyo pungua hata kama ana  H I V.

Ni miezi michache sana

hawezi kuwa ana dhohofika

kiasi hiki huyu hata mawazo

yana changia”

“ngoja kesho takwambia”

“shangazi sawa”

“acha niende kazini

badae”

“kazi njema Mama”

“leo unaniita mama”

“yah kuanzia leo

takuita mama nasiyo shangazi

naomba ukubali”

“sawa maana wanangu wote

wapo makwao hapa sina

mtu wakunipa mahaba ya kuniita mama nita furahi sana”

****

Baada ya siku moja:,.

“Monica”

“Naam sulee”

“hivi imekuwaje wewe huna ukimwi na mimi ninao”

“kwa nini wauliza hivyo”

“nawaza sana sijuwi

kwa nini maana wote tumetembea na mtu mmoja

Dokta kisarawe mwenye

ukimwi”

“hata mimi sijuwi

ila punguza mawazo mpezi wangu

una niliza sana napo kuona”

“hapana Monica najuta sana

Mume wangu tulikuwa tukipendana sana sana ujinga wangu umeniponza nilifanya vile

kuokoa ndoa yangu kumbe ndiyo

nilikuwa naipoteza jamani

hiii hiii mmh”

“nyamaza wangu

usilie Sulee”

“ina uma sana”

“jikaze sulee angalia upo katika

hali mbaya siyo vizuri kulia lia

kila mara”

Hali ya Sulee ilikuwa mbaya sana

Monica alitoka nje nakumwita dereva ili wampe msaada :

“dereva sulee kadondoka

hali yake mbaya sana twende tukampe msaada”

Monica dereva pamoja na mlinzi

waliingia ndani nakumkuta,.

Je nini kimetokea endelea Kusoma na ujifunze

itaendelea..

DOCTA SIUMWI HUKOO

Sehemu Ya 17

TULIPOISHIA

Monica alitoka nje nakumwita dereva ili wampe msaada :

“dereva sulee kadondoka

hali yake mbaya sana twende tukampe msaada”

Monica dereva pamoja na mlinzi

waliingia ndani nakumkuta,.

ENDELEA

sulee damu zikimtoka

kwa wingi ukeni”

“jamani jamani nisaidieni

kumchukua kumpakiza kwenye gari tumpeleke hospital”

walimchukuwa

nakumwingiza katika gari nakumpeleka hospital

kwa matibabu”

“shangazi sulee kazidiwa

sana na damu zinamtoka sana ukeni kapoteza fahamu”

“mko wapi sasa”

“tupo hospital kubwa hapa”

“ok nakuja”

Monica alishangaa sana

alipo kuwa akiongea na shangazi/Mama kwakuto jali sana

angekuwa mwingine ange piga kelele (uwii jamani mwanangu)

lakini ilikuwa tofauti kabisa”

“kutokana na kupanda kwa bp

kwa kiwango kikubwa sana

imesababisha mimba kutoka

sasa mlikuwa mkiishi vipi na

huyu hamkujuwa kama mama

mwenye mimba anatakiwa

usi muudhi wala kufanyishwa kazi ngumu”

“dokta hali ya mgonjwa

imebadilika ghafla sana”

“basi ni hivyo ila kuna vipimo

vingine bado havijaja subiri

sawa mgonjwa mleteeni ndizi laini na uji ok bado anawekewa damu”

“sawa daktar”

“Mama ila

hali yake inaendelea poa

ila mimba imetoka”

“yes”

“shangazi yes wakati kiumbe

kimetoka mbona sikuelewi”

“Monica ni story ndefu kidogo

Nihivi Mimi na doktar Tuli….

Tuli Ongea adanganye

kuwa sulee ana HIV ili

Mumewe amuache nilikuwa

sipendi Sulee akae na Mumewe

kwani alikuwa hana Hadhi ya kuwa na sulee kwakuwa

walipendana na kuwa na ndoa

sikuwa na jinsi ya kuwatenganisha kabisa niliamuwa iwe hivyo tulijuwa

sulee atakuwa katika

mawazo sana na kupandisha BP itakayo sababisha kujifungua kwa kupewa dawa ya kukisukuma kiumbe au kutoka mimba mpaka hapo safi atarudi katika hali yake ya kawaida”

“lakini shangazi ulivyo fanya siyo vizuri kabisa unajuwa”

“nyie mmefanya vizuri au unaongea tu”

“hapana shangazi kuuwa na kumsaliti mwenzako

dhambi hazi fanani shangazi”

“kwahiyo mimi ni muuwaji

eeh”

shangazi alifoka kwa hasira sana

mpaka Monica akashtuka na kujirudi chini,.

“sina mana hiyo shangazi

namaanisha kuwa”

“kuwa nini eeh!?”

“kuwa dhambi ni dhambi tu”

“umeona sasa mbona mimi namuokoa sulee awe na maisha safi wewe unataka kusema mimi nina kosa wewe Moni nini”

“aah shangazi ila naona upo sahihi tu sijuwi na mimi nitoe hii mimba”

“hapana usitoe takusaidia kuilea sawa sulee nimehangaika nae

tangia mtoto wa miezi mi4 wazazi wake walikufa hivi unajuwa mimi siyo shangazi yake wa damu”

“sijuwi kabisa nilijuwa ni dada wa baba yake wewe”

“hapana baba yake alikuwa dereva tax alikuwa ana nibeba kutoka kazini mpaka nyumbani

tukawa kaka dada baba yake ni mtu wa kenya na mama yake ni mtu wa kenya nae walikutana hapa hapa dar wakawa wapenzi

mpaka waka owana na kumzaa

Sulee, walikufa kwa ajali ya gari

wakitokea Bagamoyo”

“ooh kumbe sasa sulee ana juwa kuhusu hilo”

“hapana kuhusu kufa ana juwa

kuhusu kama mimi siyo shangazi wa damu hajuwi naomba kuhusu suala hili usimwambie sawa”

“nimekuelewa”,.

BAADA YA MIEZI 03

Sulee alikuwa fiti kama zamani

japo kuwa alikuwa hana furaha kabisa alijaribu kuwasiliana na Mumewe lakini haikuwa poa kwakuwa Sulee aliasirika

Mumewe na sulee mwenyewe walijuwa hivyo isinge kuwa Rahisi kurudiana kuwa wapenzi au wana ndoa Shangazi alikuwa akimletea dawa ili ameze kama dozi ya HIV kumbe zilikuwa za BP kwakuwa alikuwa hazijuwi dawa alikuwa akimeza tu Nae Monica hali yake ilikuwa siyo nzuri kutokana na miezi9 kutimia ghafla uchungu uka mshika saa6 usiku ya juma tatu alikimbizwa hospital kufika tu nakulazwa kitandani alipiga kelele sana kuomba msaada kwakuwa uchungua aliusikia

manesi na madaktar walimchukuwa nakumpeleka

katika chumba cha kujifungulia

walimsaidia na kufanikiwa kuzaa mtoto wa kike.

“hongera sana umejifungua

mtoto wa kike yupo salama”

“ooh asante Mungu”

“sasa wewe pumzika kwanza

sawa mama”

“sawa”

***

“jamani mzazi wenu

amejifunguwa salama mtoto wakike”

Sulee alifulahi sana kusikia hivyo

“Monica hongera sana mwenzangu fungu lako limekuja

kama wewe”

“sulee asante mwaya”

“sulee hongera sana”

“asante shangazi”

“mh hata mimi sijuwi

angekuwa wakike”

Swali hilo lilimfanya MONICA atoe machozi

“Monica mbona una lia

acha uchuro badala ufurahi una lia”

“Monica nakumbuka mengi sana siyo kwaajili ya mtoto Mume wangu Sulee”

sule aliwaza sana nae alianza

kudondosha machozi kwa sababu tatu moja ana, hiv mbili kaachika, tatu mimba imetoka:

“jamani mna lia na mimi nifanyeje eeh”

Aliuliza shangazi

bila kupewa jibu Monica na sulee walikumbatiana huku wakilia.

**

Maisha ya mume wa sule yalizidi kuwa magumu kifedha alitamani kwenda kwa shangazi yake Sulee lakini aliona aibu kwenda kuomba alivumilia lakini ilizidi sana

kuwa mbaya maana alizoeya

kupewa na shangazi

Nae mume wa monica

ali Rudi kijijini kutokana na maisha kuwa magumu aliingia katika madeni makubwa benk wakataifisha nyumba na gari

lake

**

Sulee kwa nini usiende kupima

tena ujuwe afya yako”

“mimi nasubiri kufa tu”

“hapana sulee nenda wewe

mimi hainiingii akilini eti mimi sina ukimwi na wewe unao

wakati mwanaume mmoja

tumetembea nae”

“inatokea hivyo monica”

“jaribu wewe nakushauri tu

uwenda Mumeo alifanya njama

tu kwa dokta ili akuambie una virusi ili akuache maana aibu tume wapa”

“mh ina wezekana eti lakini haku paswa kufanya hivyo.

“sulee haina haja ya

kufikiria kwa sasa maji yamesha mwagika kuyazoa haiwezekani kabisa sawa”

“sawa ngoja kesho niende kupima tena hospital kama 4 kwauwakika zaidi uwongo Monica”

“fanya hivyo mpenzi wangu maana unaweza kuishi kwa mawazo wenda huna tatizo hilo

wangu”

“asante Monica”

“ila usimwambie shangazi

Kumekucha Je SHANGAZI Ataumbuka kweli na nini kitatokea ,, Tuendelee……

DOCTA SIUMWI HUKOO

Sehemu Ya 18

TULIPOISHIA

fanya hivyo mpenzi wangu maana unaweza kuishi kwa mawazo wenda huna tatizo hilo

wangu”

“asante Monica”

“ila usimwambie shangazi

ENDELEA

kama unaenda kupima sawa”

“kwa nini Monica”

“hupaswi kuuliza kwa nini

fanya hivyo”

***

Dokta kisarawe alimsimulia Adams

Historia yake ya maisha aliyokuwa akiishi Dar najinsi alivyo kuwa akiwa fanyia wanawake za watu:

“Nihivyo Adams nilikuwa nikifanya dhambi kabisa

na sasa nimeamua kuokoka

sitaki dhambi tena”

“Uwamuzi wako mzuri sana

nakupa hongera sana mke wa mtu ni sumu kali sana usipende kupenda au kufanya mapenzi/sex nao utakufa mapema sana, ona mimi sina mke lakini sijihusishi na Mapenzi mpenzi wangu mimi ni kazi/pesa KISARAWE”

*

“Kweli nakuamini ndugu yangu”

“basi akili yako wekeza kwenye

kazi jifunze nacho  usiwe na tamaa katika Mali yangu

ukiiba tu nikigundua nakupoteza asee sikutishi nakupa ukweli angalia ulio wakuta wako vipi”

“sawa Adams nakuahidi sita fanya hivyo”

“asante kama itakuwa kweli”

***

Kisarawe alizidi kuomba Mungu

na kutubu Dhambi zake zote yeye alikuwa mtu wakufunga na kusali Mpaka Adams alishangaa sana kubadilika  alikuwa mkimya sana hakupenda kabisa ku share na wanawake” Kisarawe vipi

mbona uko hivyo siku hizi”

“kivipi Boss”

“Hapana niite Adams inatosha

kaka”

“ok Adams”

“naona unabadilika sana

mkimya hupendi kukaa na akina dada”

“Adams nimeamua kubadilika

kidogo sipendi kukaa nao nataka nisahau kabisa matukio yangu ya zamani nikikaa nao nitakumbuka

yaliyo pita na kuanza upya”

“Hivi ulishakuwa na mke”

“kwa nini una uliza hivyo”

“namaana yangu”

“Hapana sikuwa na mke”

“ndomaana ulikuwa ukitembea

na wake za watu”

“kwa nini”

“Ulikuwa huoni uchungu

wa mke ungekuwa na mke

usinge fanya hivyo, tuachane

na hayo kesho Naenda Dar

kuna kampuni moja nimeongea nao kuhusu gari wana hitaji”

“sawa Adams kwahiyo

kuhusu mpango wa sua kuhusu

trekta zile kumi inakuwaje

wamefika milioni95 kila moja”

“ooh nilisahau wambie waongeze 20”

“sawa”

***

ADAMS akiwa maeneo ya mbezi

alihisi tumbo likimuuma

ndani ya gari yake alikuwa

na Dereva aliye mkodisha

kuendesha gari yake kutokana

na kuto zijua vizuri njia na msongamano wa magari

kama unavyo lijuwa jiji la dar

alikuwa akilala mika sana

dereva alishauri waende

hospital ya Amana

kupima/kupewa matibabu

dk10 walifika na kuchukuliwa

vipimo wakati wakiwa

katika chumba cha kupumzikia wagonjwa walikuwa wengi

wakisubiri majibu yao ya

vipimo walikuwa wakiangalia video iliyo kuwa ipo juu ya ukuta wote wagonjwa walikuwa wakitazama juu katika video hiyo lakini kwa Adams ilikuwa tofauti kidogo.

Macho yake yalikuwa kwa Binti

mrembo sana aliye kuwa kakaa upande wa kushoto kwake.

“kaka vipi mbona hivyo”

ilikuwa sauti ya dereva wake

iliyo muuliza:

“ona yule dada alivyo”

“aah kaka mbona kama hao wengi tu wapo hapa Dar tena wazuri kushinda huyo mgonjwa

pesa yako tu kama upo tayari niambie nikupeleke viwanja”

walikuwa wakinong’onezana

masikioni ili watu wengine wasisikie.

“hapana asee Roho yangu

imetua pale asee”

“sasa kaongee nae basi”

“poa subiri hapa hapa”

“Adams alivaa kiheshima sana

ilikuwa suti kwakuwa kulikuwa na joto sana alivua koti na kubakia na shati nyeupe na tai shingoni alipendeza sana.

“samahani kaka”

“bila samahani”

“Naomba nikae hapo ulipo

kaa nataka kuongea na huyu dada”

“ooh sawa kaa”

***

Dada habari za kwako

nadhani una umwa maana naona una mawazo sana muda wote naona umeinama chini”

“Matatizo kaka angu ”

“pole sana, samahani kuna kitu nataka kuku uliza kidogo

naomba tukae pembeni kidogo”

“sawa labda wapi”

“kwenye kiti kile ile kama daktar ataita majina iwe rahisi kusikia”

“ok”

“Naitwa Adams j maryo jr.

Naishi Morogoro ni mfanya biashara”

“oh asante kuku fahamu”

“ok, nilikuona Muda wote upo

na hudhuni sana vp nini tatizo”

“Ni Afya yangu tu kaka:..

“Namba 11 ingia”

Ilikuwa sauti ya daktar

iliyo sikika hakuwa mwingine ni yule dada aliye kuwa akiongea na Adams aliinuka na kwenda.

“kaka ngoja niingie nisubiri”

“aliingia ndani kwa doktar..

Habari yako Dada”

“nzuri Doktar,Nipe majibu yangu

ilinijuwe kitakacho endelea katika Maisha yangu”

“Mbona una Haraka sana”

“Doktar ni umuhimu wangu

kujuwa”

“ok unaitwa Sulee siyo”

“ndiyo”

“ok Sasa mbona umekuja peke yako kupima”

“sina Mume wala mpenzi nipo mimi mwenyewe”

“Mh kwanini je mmeachana”

“ndiyo”

“kipindi gani tokea muachane”

“kama miezi 9 na siku kazaa”

“pole sana pole sana”

“doktar nina nini”

“hayo ni maisha yakawaida sana leo wewe kesho mimi hupaswi kujutia Mungu ana kila sababu kwenye jambo lolote sawa sulee ona wewe ni mzuri sana lakini leo hii una dosari katika maisha yako usikate tamaa kabisa Dada angu Mungu atakupa nguvu,

***

Monica Alikuwa ana furaha kubwa sana Moyoni kwakupata Mtoto japokuwa alikuwa akimkumbuka sana Mume wake aliumia sana kwa kufikiria sana Jinsi Mumewe alivyo kuwa ana mjali na kumpenda

alijikuta akimuangalia Mtoto wake huku machozi yakimtoka sana,.

****

Adam’s  boss wa Docta KISARAWE amemtamani mmoja  wa mwamke aliyekwisha Kuwa na docta  kisarawe (SULLE) unafikiria itakuwa aje,, endelea kufuatilia

DOCTA SIUMWI HUKOO

Sehemu Ya 19

TULIPOISHIA

Monica Alikuwa ana furaha kubwa sana Moyoni kwakupata Mtoto japokuwa alikuwa akimkumbuka sana Mume wake aliumia sana kwa kufikiria sana Jinsi Mumewe alivyo kuwa ana mjali na kumpenda

alijikuta akimuangalia Mtoto wake huku machozi yakimtoka sana,.

ENDELEA

Alianza kumchukia Mtoto wake aliye fanana sana na Kisarawe

alitamani kumtupa au amtelekeze yule mtoto kwa shangazi lakini aliona Mtoto hana Hatia kabisa alizidi kumtunza na kujitahidi kumpenda sana.

***

Mume wa Monica Aliamuwa kuwa mkulima katika kijiji cha mlali kilichopo mkoa wa Morogoro alilima mazao lakini yalimgomea kabisa alikuwa akivuna kidogo sana”

Hii itakuwa Radhi ya mke wangu tu kuachana tu maisha yamekuwa magumu sana kila ninacho kifanya kwangu siyo

imekuwaje sijuwi niende kwa Mganga, lakini hapana hapana

siwezi kufanya hivyo kwakuwa huku kijijini hawajuwi kama tumeachana na mke wangu ngoja ni rudi dar nika mtafute mke wangu tujetuishi wote lakini anaweza kukubali kuja kuishi huku sijuwi”

Hayo yalikuwa Mawazo ya

Mume wake na Monica

aliyo kuwa aki waza

***

Nakushauri Usichoke kutafuta

sawa sulee”

“Doktar doktar sikuelewi”

Sulee aliulza kwa ukali kidogo

huku machozi yakilenga lenga

huku akitetemeka kwa uwoga na presha kupanda”

“hapana sule kuachika siyo mwisho wa kuto pendwa au kupenda utapata Mume bora

na aliye sahihi kwako kazana kuomba Mungu atakuonyesha”

“doktar nime asirika tawezaje kukaa na Mtu asiye na virusi”

“nani kakwambia kuwa ume Asirika eeh”

“soma hivi hapa vyeti”

“mh Hapana sule vipimo vyetu havisemi hivyo upo salama kabisa

sulee”

“hapana doktar hostpital iyo siunaijuwa nikubwa sana

itadanganyaje hivyo”

“huwezi kujuwa wenda kuna sababu kama ulivyo niambia kuwa umeachika miezi9 naa, wenda ni njama ya mumeo”

“sasa unanishauri vp doktar”

“kapime hospital mbili tena

utapata  majibu”

“asante doktar”

“haya karibu tena”

Sulee alitoka nje hakuwa na kumbukumbu kama kuna kijana

nje aliye kuwa na maongezi naye alitoka huku akielekea mlango wakutokea nje kabisa

“sulee mbona hivyo

jamani”

“nisamehe sana Adams”

“ehee ina kuwaje maongezi yetu”

“ooh tukae pale”

Kabla ya kukaa

doktar akasikika akisema namba 25 ingia” ilikuwa ninamba ya Adams j maryo jr.

“sulee ni namba yangu hiyo

je uta nisubiri niingie”

“sawa usichelewe sana”

“sawa”

“Pita tu”

“Habari yako doktar”

“salama tu ,wewe ni Adams”

“ndiyo”

“tatizo lako ni mchafuko wa Tumbo tu utaenda Dukani

uta chukuwa dawa hizi nilizo andika sawa”

“sawa kwaheri”

“pita huku ”

ADAMS ALIPITA NJIA NYINGINE

NASIYO ILE ALIPO TOKEA SULEE

ADAMS ALICHUKUWA DAWA DUKANI NAKURUDI PALE ALIPO MUACHA DEREVA NA SULEE.

“vipi dereva yuko wapi yule dada

yuko wapi”

“kaondoka mda kidogo kaka”

“khaa sasa sijuwi tampataje

asee”

“kaacha namba yake ya simu

hii hapa”

“afadhali sana ,bac twende zetu

asee”

alienda hospital 3 tofauti kupima tena mpaka saa3 usiku alikuwa akisubiria Majibu hospital zote3, Na majibu yote yalikuwa ni mamoja hana Virusi alikuwa na amani moyoni japokuwa aliambiwa arudi tena kupima baada ya miezi mi2/3

kiuwakika zaidi alirudi nyumbani

huku ana furaha sana.

“vp sulee mbona hivyo

una furaha”

“yani Mungu ashukuriwe

sina Virusi Monica”

“sasa iwe siri usimwambie shangazi sawa”

“mh kwa nini tena”

“utajuwa ukweli badae”

Monica alimwambia sulee vile

ili uadui usitokee kati yao na Shangazi yao

***

miezi mi2 sulee alienda tena kupima alipata majibu tena kuwa hana virusi aliwaza sana ninani aliye fanya kitendo hicho cha kuambiwa ana h,i,v aliamuwa kwenda katika hospil ile aliyo ambiwa kuwa ana Virusi ilikumbana doktar yule

ajuwe ukweli.

Alipo fika alimkuta daktar wakike

“zakazi daktar”

“nzuri tu”

“nina shida”

“kiafya au kiofice

“kiofice”

“karibu”

“kuna siku nilikuja hapa kupima…

Kupima H.I.V. Na vyeti vya vipimo vyangu ni hivi hapa unaweza ukasoma.

“Yes inaonyesha umeasirika

Dada angu”

“ooh vizuri je nitarehe ngapi

hapo ina sema”

“eeeeeh eeeeeh ni 21/5/2014, mbona unaniuliza maswali sana”

“asante sana,uta juwa tyuu

usiwe na haraka, Je unaweza

kunisomea katika faili la ofice hii alikuwepo nani tarehe iyo”

“aah kuna kazi nyingi zakufanya

sahizi niache nihudumie wagonjwa wengine”

Sulee aliingiza mkono

katika pochi yake nakutoka na

wekundu/pesa kazaa nakumpa yule dada/doktar akapokea

nakuweka katika Matiti yake.

“sasa naomba nisaidiye

kumjuwa ninani alikuwepo”

“ok subiri”

Baada ya dk5

Alisha pata jibu alikuwa ninani

“nimeona alikuwa ni

doktar john nimnene mweusi

ana nywele nyingi hivi”

“huyo huyo”

“sasa kafanyaje”

“habari ndefu sana wangu

angalia hivi vyeti nausome”

Doktar huyo alisoma

vyote vi nne alitoa pumzi

uphuuuu kisha akamtazama

kwa huzuni sana sulee kisha akainuka

nakumshika bega.

“sulee pole sana hiyo nikawaida yake huyo doktar hafai hata kwa dawa nakushauri fanya unavyo taka kufanya”

“ok nataka kujuwa ukweli tu

aliyemtuma afanye hivyo ninani”

“sawa”

Sulee alianza kufanya mipango:

alianzia Mahakamani

moja kwa moja kwakumshtaki

doktar john kwakumpa vipimo vyauwongo.

Kesi ilisumwa kort chemba

sulee hakutaka yawe makubwa

kwa doktar yeye alitaka ajuwe tu ninani alifanya vile tu.

Monica alikuwa akihisi kuwa ni Mume wangu ili tuachane, Lakini mbona alisema nisimwambie Shangazi kuhusu ilo suala.

Sulee alijiuliza moyoni

Doktar alibanwa sana mwisho akakubali kuwa alipewa pesa

na shangazi yake sulee adanganye majibu kuwa sulee ana ukimwi

ili aachane na Mumewe,(japo kuwa shangazi na sulee alikubaliana na Mume wa sule kuwa kama watakuwa wazima wote Mume wa sulee ange msamehe sulee)

“ok vizuri sana”

Kutokana na sifa za doktar huyo

kuwa mbaya anahusika na utoaji mimba NK.

Mahakama iliamuwa kumfungia kazi kwa muda usiyo julikana.

Sulee ali Rudi nyumbani

huku akiwa na hasira sana

alikuwa ana hamu sana amkute shangazi yake

Lakini hakumkuta.

***

“kweli Monica doktar kakubali

kumbe shangazi ndiye kafanya tukio langu hilo eti kisa tuachane na mume wangu, tulikubaliana

kama tutakuwa hatuna Virusi tungeendelea kukaa wote licha

yakuwa na mimba siyo yake”

“Sasa utafanyaje sulee”

“nataka kumchana live”

“Hapana Sulee kumbuka

hatuna pakwenda”

“potelea mbali liwalo na liwe

nimesha pagawa kasababisha kutoka kwa mimba yangu inauma sana nilikuwa nikikaa kwa Huzuni kama naumwa nilikonda kweli na  Monica siwezi kumsamehe Mimi”

“Sulee huoni kama ndiyo utakuwa

mwisho wetu wakukaa hapa”

“mmh popote mimi takwenda kukaa mimi”

“na mimi je”

“najuwa atanifukuza mimi

tu siyo wewe”

“hapana sulee atajuwa nime kwambia mimi hiyo siri”

“siri siri siri gani tena hiyo

Monica”

“kuwa wewe hauna ukimwi”

“mh mbona unanichanganya inamaana hata wewe ulikuwa ukijuwa kuwa mimi sina ukimwi

Monica mbona haukuniambia

mimi kwa nini kwa nini Monica

hukuniambia mapema

mpaka mimba yangu imetoka

Monicaaaaaa….

Kumekucha ,,kutachimbika

DOCTA SIUMWI HUKOO

Sehemu Ya 20

TULIPOISHIA

“mh mbona unanichanganya inamaana hata wewe ulikuwa ukijuwa kuwa mimi sina ukimwi

Monica mbona haukuniambia

mimi kwa nini kwa nini Monica

hukuniambia mapema

mpaka mimba yangu imetoka

Monicaaaaaa….

ENDELEA

Hata wewe uliamua kuacha

kuniambia mapema mpaka

Mimba yangu imetoka aaaayi

Mbaya sana wewe nakuchukia

wewe na shangazi wauwaji kabisa nyie ni bora usingeniambia tu Mimba imesababisha niachike

leo hii inatoka/naipoteza kirahisi hivi hapana haiwezekani kabisa”

“Sulee Nimejuwa baada yakutoka ndipo aliponiambia mimi kosa langu likowapi kukuambia au?

Kumbuka sulee Tatizo lako ndiyo langu nisingeweza kukuficha mimi wangu namimi naumia sana sulee shangazi aliniambia baada ujauzito wako kutoka”

“unaongea yana uhakika hayo”

“ndiyo”

“unaniakikishia vipi mimi nikuamini”

“Naapa mbele ya Mungu kuwa, haya nayo yasema mimi Monica niukweli mtupu”

“basi sawa”

***

Sulee na Monica walikumbatiana

huku sulee akilia kwa uchungu sana:

Eeeh Mungu naomba unisamehe

kwa mambo yote niliyo mtendea Mume wangu popote alipo naomba umlinde naumpe Moyo wa kunikumbuka:

Alipokuwa akisali sulee simu yake ikawa ina ita Alipo itazama alikutana na namba iliyo ishia na 78 ilikuwa ningeni kwake akapokea.

“hallow nani mwenzangu”

“Adams j Maryo jr.

Upo wapi sahizi”

“oooh nipo home nw”

“ok upo na nani”

“nipo na ndugu yangu”

“poa sasa tutafanyaje sulee”

“kivipi”

“nilitamani tuonane

kama utakuwa una Muda”

“e eeeh yap ninao”

“asante Mimi nipo Mikocheni”

“swa kwahiyo”

“naomba tukutane Tegeta Africa sana”

“poa sasa hivi naja”

“ok nakusubiri”

Yalikuwa ni maongezi kati ya sulee na Adams wakipeana ahadi yakuonana kwao, sulee Akajiremba safi akiwa mlangoni akitoka alikutana na shangazi yake.

“Afadhali sana tumekutana”

“kivipi sulee mbona kama una jazba vile”

“hujuwi eeh hujuwi”

“nijuwe nini mie”

“sikia wewe hivi unajiskiaje

mimba yangu ilivyo toka”

“mbona nikawaida tu”

“kawaida eti, kwahiyo umefurahi”

“mh kivipi”

“wewe ndiyo uliye sababisha

haya niambie nia yako sasa”

“mbona sikuelewi sulee”

“hunielewi eee haya sasa

njama yako uliyo ifanya

imejulikana eti ukafanya njama na dokta wako aseme mimi naukimwi ili Mume wangu aniache pia mimba yangu itoke

nanimebaini shangazi wewe ni muuwaji sana sikupendi sikupendi”

“mpumbavu sana wewe leo mimi muuwaji kwa nini nisinge kuuwa tangia mdogo eeeh huni pendi kwani mimi ndugu yako shenzi wewe huruma yangu niliamuwa kukulea kama mwanangu/mtoto wandugu yangu mpaka leo jitu kubwa umesha ota mapembe basi unavimba kichwa nilikutuma ukafanye ujinga wako ulio kufanya uachike eeeh”

***

Shangazi alinisimulia kila kitu katika maisha ya wazazi wangu

mpaka wakafariki iliniuma sana Moyoni nikawa sina jinsi yakufanya.

ghafla simu yangu

ikaita nikatazama nikaona namba ya Adams japo siku isevu niliikumbuka.

“hallow”

“vp mbona kimya hivyo”

“ooh nilikuwa na kikao naja nipo njiani”

“ok wahi basi”

Nilitoka bila kuaga

“ukiona nakubana usirudi hapa”

“sawa tyuu”

Nilimjibu hivyo kwakuwa nilikuwa nina hasira sana

safari yakwenda Tegeta ilianza

nilikodisha tax njiani nilikuwa nina mawazo mengi sana

hata kufikiria wito wakwenda kwa Adams nilikuwa sina kabisa”

Safari hiyo kwa  Adam’s je kitatokea nn endelea kufuatilia….

Share.
Leave A Reply

error: Content is protected !!
Verified by MonsterInsights