Clickable WP Image
JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

MAPENZI KWENYE NDOA YANAPOKUWA MATAMU

1. Wote wawili mkiwa hamchokani na kuwa na hamu
na mwenzie

2. Usingizi utapendeza zaidi mkiwa mnalala wakati sahihi

3. Kutokuwa na stress huleta ustawi wa kihisia na kiakili

4. Migogoro istokee mara nyingi na kama ikitokea itatuliwe mapema

5. Kuwa na Mazungumzo ya karibu zaidi na mwenzio mara nyingi

6. kufanya mapenzi kwa lengo la kuwa na watoto kunaleta furaha

7. Wawili nyinyi mnatakiwa kupeana nafasi ya kuvutiana zaidi

8. Wote wawili muwe na nyongeza ya kimaisha kujipatia kipato

9. Wote Wawili mrudi nyumbani kwa wakati sahihi

10. Wote Wawili jitengenezeeni kumbukumbu ya mapenzi yenu

11. Watoto wataishi kwa furaha endapo mama na baba watakuwa na furaha zaidi

12. Wote Wawili muwe karibu zaidi mara nyingi

13. wote Wawili muwe na hamu zaidi ya kufanya mapenzi

16. Mungu atatoa fadhila siku zote kwenye ndoa yenye furaha 

Share.
Leave A Reply

error: Content is protected !!