Kwa hiyo ukiwaona usiwachukulie kama wa bei nafuu au bei poa, jaribu kuwapuuza,
lakin usipuuze hisia zao au la usiwakatae kabisa kwasababu ndugu yangu
kukataliwa kunaumiza mno Hii inaweza kumfanya mwanamke akate tamaa kihisia,
ajione kuwa mtu asiyejua mapenzi, unajua kuwa kuchukia tendo la ndoa na kujiona
huna thamani hupelekea kuharibika kisaikolojia na kupelekea kuwa katili saa
zote na kukosa moyo wa kibinadamu.
Mwanamke AKikataliwa kijinsia na mwanaume kunaweza kumfanya mwanamke ajione
kuwa hatamaniki na hana thamani katika hii dunia na kuharibu heshima yake kwa
80%! Mojawapo ya njia unazoweza kujiongeza ili kuukwepa udhaifu wa mkeo ni
kumfanya ajue na kutambua udhaifa alionao, unakuta mdada mrembo sana, na
anatamanika kingono kwako lakin mkifika chumbani zero.
unaanza kujiuliza Mbona mkeo amepoa akiwa kitandani na Kwa nini anachukia tendo
la ndoa? Kwa nini mwili wake haupadishi joto? hilo swali unajiuliza kwasababu
Labda hujui haya mambo 10 lakini jua tu mkeo wala si mgonjwa ila tu kuna vitu
anaogopa kukwambia. yajue sasa haya mambo 10 ili umlegeze kutokana na vizuizi
vyake, fahamu kuwa mkeo anapaswa kuwa mwanafunzi wako
1. Wanawake wanapenda aina mbalimbali za mitindo wakiwa kitandani: Mguso wao
huwa ni uleule, njia ile ile, sehemu ya raha kwake ni moja, wakati huohuo
mwanamke anaweza kuchoshwa sana na mwanaume! Wanawake wanapenda mwanaume awe
anajua jinsi ya kumuandaa. Ndio maana wanawake hawavai nguo moja siku 7 kwa
wiki. viungo vyao vipo tayari kwa lolote muda wowote. Kwa Jinsi ulivyomgusa
jana inaweza isiwe utakavyomguswa leo. Anaweza kutaka umguse mgongo tu tofauti
na jana ulipomfanyia masaji ya vidole gari likawaka. Ni kazi yako kumwona na
kumsoma kama kitabu na kujua anapotaka kufanya tendo la ndoa maana lazima
atakuwa mchokozi,mtundu na atakutazama kila saa kwa jicho la huruma na atakuwa
ni mtu mwenye hasira na ukali ukiona hivyo fahamu tu kuwa kichupa kimejaa wahi
kabla hakija pasuka.
2. Wanawake wanapenda romance: mabusu ya upole, yenye kutia shauku, miguso
laini katika sehemu zake zinazofaa fanya hivyo hatua kwa hatua ili kuwasha gari
la mwanamke mpaka liwake!
3. Wanawake wengi wanapenda stori kitandani kabla ya kufanya tendo la ndoa.
hali hii hupelekea kumpa nafasi ya Kumsikiliza kuhusu jinsi siku yake
ilivyoenda na kukwambia anavyopenda afanyiwe huku wewe fanya ujanja mmoja uwe
unamsifia na kumwambia ukweli kuhusu urembo wake kama mwanamke. Usimvue nguo
zake hadi umvue moyo wake mpaka atamani kukuvua wewe.
4. Wanawake wengi wanapenda staili ya kukaa juu: inaweza kuwa sio wanawake wote
lakini wengi wao wanapenda. unajua kwanini staili hii humfanya mwanamke apende
kuendelea kusimamia, na kudhibiti kina cha mwanaume na humpatia urahisi wa
kumtazama mwanaume usoni na muonekano wa kufurahia tendo na muonekano wake wa
mbele ya uso.
5. Mwanamke anayekupenda anaweza kukupa penzi mahali popote kwa furaha iwe
jikoni, choo, popote, hii sasa inategemea na wewe jinsi unavyotaka ikiwa
utamheshimu lakini, utaonyesha upendo, lakini ukiwa kwenye ulimwengu huu
usijekuwa mpole, kuwa tu mwenye upendo na usione ajabu na kumchukulia tofauti
mkeo hata kama mmefanya tendo kwa haraka.
6. Wanawake wengi hupenda kunyonywa sehemu zao za siri lakini fahamu kuwa
sehemu inayompa raha ni pale kwenye gspot hakikisha kuwa hukosei fanya kwa
upole, kwa upendo, kwa wakati ufaao na uwe wakati wa kufanya tendo la ndoa
7. Wanawake hawajali kabisa ukubwa wa mzigo wako ilimradi tu uwe mtundu na uwe
unajua kuutumia vizuri ipaswavyo, peleka sehemu sahihi iliyoruhusiwa na mola
wako, weka pembeni mwako anza taratibu kwanza ili upate miguno yake kwa raha.
8. Wanawake kwaajili ya furaha tu watawajibika kwa nafasi yoyote ile kwenye
tendo mradi tu unamfikisha kirereni hasa ukiwa unanguvu za kutosha na
unamishindo ya uhakika kama mwanaume.
9. Chachu ya mapenzi kwa mwanamke ni upendo, utunzaji, umakini, mapenzi na
ukarimu ambao unaufanya kuwa mtindo wa maisha yako na yake, mpe penzi kila
wakati sio tu kwa wakati unaotaka wewe. Hufanya uhusiano wake na wewe kukua
kihisia na kufanya awe na shauku ya mapenzi yako kila siku.
10. Wanawake hupenda mwanaume anayekaa kifuani kwa muda mrefu na huchukia tendo
wakishamaliza kufika kileleni kabla ya wakati wanaoutaka wao. Ikiwa unaweza
kujizuia kwa muda wa kutosha kabla ya kumaliza na kuendelea kumdhibiti ili
kumpa raha mkeo, atafurahia kufanya mapenzi na wewe, kukufurahia, kukufuatilia
na kufanya tendo na wewe kwa hamu mara nyingi
Kumbuka kuwa matamu sana kwa waliooa
Wadhifa huo ni madhubuti kwaajili ya wanandoa walioowana kisheria watoto ambao
wanapaswa kukabiliana na masomo shule haiwahusu. Ukiingia kwenye ulimwengu wa
tendo la ndoa kabla ya ndoa, unapoteza thaman na kutengua mipaka pamoja na
kibali cha Mungu, kuna siku utapata aibu, huzuni na matatizo utakapokuwa kwenye
ndoa kuna maisha baadae yanakungoja.