Tuesday, April 29, 2025

Kumfanya Mwanaume wako Akupende sana - Fanya haya Mambo

 Jiunge na Magroup yetu

TELEGRAM | FACEBOOK

 

JINSI YA KUMFANYA MWANAUME AKUPENDE

Je, umechoka kuchukizwa na wanaume? Wanakuchumbia tu halafu wanakuacha? Haya ni mambo unayoweza kuyafanya ili kumfanya mwanaume akupende na hata kukuchumbia, kukuoa na kushikamana nawe milele...

1. HESHIMA:
Jifunze kuwaheshimu wanaume kutoka ndani ya moyo wako. Hakuna mwanaume anayeweza kumpinga mwanamke anayemuonyesha heshima na nidhamu kubwa.

2. SHUKRANI:
jifunze kuthamini kila jambo jema ambalo wanaume wanakufanyia. Mwanamke anayejua jinsi ya kumthamini mwanamume

3. UPENDO WA DHATI:
wanaume wanapenda kusifiwa. kuhusu Akili yake, mafanikio, sura nzuri na kazi ina maana kubwa kwake

4. SIFA:
kila anapofanya jambo la kawaida, msifu sana. Usimbembeleze, wanaume wanachukia kubembelezwa kupitiliza, wanapendani nidhamu.

5. MALENGO:
Usiwe na tamaa sana ya kuolewa. Wanaume wajanja sana wanaweza kunusa kwa mbali na kukusoma lengo lako na watakukwepa watakaa mbali na wewe. Hakuna anayetaka mwanamke anayekata tamaa.

6. KUJIAMINI :
Njia moja ya uhakika ya kumfanya mwanaume akufuate ni kujiamini. Wanawake wanaojiamini huwafanya wanaume wapende kuwa nao. kuna muda Unajifanya kama zawadi kubwa ambayo inahitaji juhudi za ziada ili kuipata. Wanaume wanapenda vitu vigumu ili wavipate kwa kishindo. Kujiamini kwako kunamfanya atake mwanaume atamani "kushinda" juu yako wewe.

7. MAISHA:
kuwa na kazi, biashara, maono, malengo, ndoto nzuri. Wanaume hupenda wanawake wanaofanya kitu cha thamani huku maisha yao yanasonga usipende kuendekeza urembo kila saa usipende kulala huku ukingoja vya kuletewa. Hakuna mtu anayetaka kuoa mwanamke wa namna hiyo

8. URAFIKI:
wanawake wenye urafiki na wanaume huwavutia wanaume kwa urahisi. Jifunze kucheka, fanya ucheshi wakati mwingine, shiriki mazungumzo ya watu wenye akili na ikiwa kucheka basi cheka kweli., usiyachukulie maisha kwa uzito sana. Kuwa na furaha mara nyingi

9. UJANA:
Ukiendelea kujiweka kama mzee. Utakuwa single kwa muda mrefu bila kupata mwenzi wako.

10. UREMBO:
Unatakiwa kuwa kuwa kama akina Agbanidarego, Aishwarya Rai, Kim Kardashian, Omotola Jolade Au Angelina Jolie kabla ya kuonekana mrembo. Kuwa msafi kwanza, vaa nguo zinazokutosha, ondoa harufu mbaya mwilini. nywele zako ziwke kwenye mtindo unaofaa ambayo unaendana na kichwa chako sio. Epuka midomo kuicha iwe mikavu. Jifunze kupunguza mwili na kupiga mswaki nyusi zako, epuka harufu ya mdomo, tumia manukato sahihi. Jifunze kuonekana mtamu na mzuri wakati wote.

11. MWANAMKE:
kuwa kama anavyotakiwa kuwa mwanamke na sio kama Tomboy. Jifunze kukaa kimya, kuzungumza, kutembea na kucheka kama mwanamke. Kuwa wa kike, kuwa msichana, ili mwanaume ajisikie kama yuko na mwanamke, sio mwanaume!

12. NAFSI:
Usijilazimishe kuiga maisha kwa watu. maana Uongo na udanganyifu unaumiza haraka kuliko kitu kingine chochote. Kuwa mhalisia. Ikiwa mwanaume amakupenda basi atakupenda jinsi ulivyo.

13. TENDO LA NDOA:
Bado utakutana na mwanamume ambaye atataka penzi mapema kbla hamjajuana zaid, hapa ndiyo unatakiwa ujiamini, mwenye akili na msafi kingono. Jifunze kuuzuia wako kwenye matamanio kuwa na heshima. Kataa kuguswa mapema na mwanaume. hii Itaongeza heshima yake kwako na atakuona kama mwanamke anayestahili kuwa naye, anayestahili kumpata kwa kishindo, anayefaa kufuatiliwa na anayestahili kuolewa naye.

Add Comments


EmoticonEmoticon