1. Wakati midomo yenu inabusiana hakikisha unatoa hewa safi
2. Wakati unavaa chupi na nguo za ndani hakikisha kuwa ni safi na zinazo vutia
3. Wakati mwanamke unavaa weave ama wigi hakikisha kuwa halinuki
4. Wakati mwingine weka nywele za usoni ziwe za kumvutia mwanaume
5. Hakikisha manukato unayotumia kujipulizia mwilii au kwenye mavazi sio makali
sana yasimuumize mwenzio wakati wa tendo
6. unavyonyoa vuzi hakikisha unanyoa kiustad kwa kifaa na dawa maalumu kuepuka
miwasho mara kamara
7. Hakikisha kwa bibi hakutoi harufu ya kuchukiza mpaka kumpelekea mwenzi wako
ashindwe kuendelea kukushughulikia ipaswavyo
8. Hakikisha kuwa kwapa lako halitoi na kunuka jasho kali. ni vizuri mkawa
mnaoga pamoja ili kila mtu ajiridhishe kwa kumfanyia usafi mwenzie
9. hakikisha mikononi huna kucha ndefu
10. hakikisha kuwa chumbani kuna kuwa safi na kunanukia vizuri na kuwe na redio
au tv weka muziki wa taratibu
Kitu pekee kichafu kinachoruhusiwa kwenye tendo la ndoa ni pale nyinyi wawili
mnapozungumza maneno machafu ya chumbani