Monday, April 28, 2025

Jinsi ya Kutunza Hisia za Mkeo/Mpenzi wako

 Jiunge na Magroup yetu

TELEGRAM | FACEBOOK


JINSI YA KUTUNZA HISIA ZA MKEO/MPENZI WAKO


1. Mtazame machoni wakati anazungumza nae, ili kumfanya ashindwe kujiamini wanawake wengi huwa hawajiamini wakiwa wanatazmwa na mwanaume usoni

2. Wakati unavuta pumzi, mpe nafasi aongee. Ni jambo la mhimu sana kuwa na mtu asiyeweka vitu rohoni na kukuficha

3. Mguseguse mahara mbalimbali. kishike kiganja Sugua mkono wake, mshike kiuno, kumbusu. maana mwili wa mwanaume na mwanamke ikigusana huamsha hisia

4. Wakati wa shida akiwa analia, usiondoke chumbani. Mkumbatie, mfariji, awe analia kwa sababu yako au kwa suala lingine

5. Asubuhi Muulize hali yake, alilala vipi, siku yake imekuwaje. neno Habari za asubuhi, usiku mwema humfanya ahisi kutunzwa na kudekezwa

6. Anaposhughulikiwa kwenye tendo la ndoa, usimwambie maneno akajiona kama yeye ni mdogo. hali Hii itamfanya ahisi kudharaurika

7. Jua zaidi kuhusu njia za kupanga uzazi anazotumia mkeo/mpenzi wako. Baadhi ya wanawake wengi kupitia kutumia njia za uzazi wa mpango huathiri homoni zao wenyewe, homoni zao huathiri mpaka hisia zao wakiwa chumbani

8. Jifunze na uzifahamu siku za kuingia na kutoka wakati wa mzunguko wake wa hedhi. kuna baadhi ya Wanawake wengine hupata hisia wakati wakiwa katika wakati wa mwezi au siku zao.

9. Mpende hadharani na faraghani. Mpe uwazi kuwa yeye ndiye wa pekee, usiwaburudishe wanawake wengine. Hii itamfanya ajisikie na kujiona yupo salama zaidi mikononi mwako

Add Comments


EmoticonEmoticon